Rais Samia aipaisha Benki ya Maendeleo ya Kilimo
Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB), imefanikiwa kutoa mikopo ya shilingi trilioni 1.129 kwa wakulima, wafugaji na wavuvi kwa miaka kumi tangu kuanzishwa kwake ambapo wanufaika wamefikia 1,953,162. Hayo yalisemwa jana jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Frank Nyabundege wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu benki hiyo kutimiza miaka 10 […]
Rais Samia aipaisha Benki ya Maendeleo ya Kilimo Read More »