Wanawake wahimizwa kutumia Vyama vya Ushirika kama njia ya kujikwamua kiuchumi
Katika kuelekea kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Kaimu Naibu Mrajis wa Ushirika – Uhamasishaji, Consolata Kiluma, amewataka wanawake kutumia vyama vya ushirika kama nyenzo ya kujikwamua kiuchumi. Amesema kuwa vyama vya ushirika, hususan vya Akiba na Mikopo (SACCOS), ni sehemu salama kwa wanawake kuhifadhi fedha zao na kupata mikopo yenye riba nafuu, […]
Wanawake wahimizwa kutumia Vyama vya Ushirika kama njia ya kujikwamua kiuchumi Read More »