Bei za mafuta ya petroli, dizeli zapanda Februari
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya Petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia leo Jumatano tarehe 05 Februari 2025 saa 6 usiku, kwa mwezi Februari 2025 bei za rejareja na jumla. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, bei ya petroli kwa rejareja katika Jiji la Dar […]
Bei za mafuta ya petroli, dizeli zapanda Februari Read More »