Biashara

Acer yajizatiti kupanua soko Afrika Mashariki kwa teknolojia ya kisasa

Dar es Salaam, Tanzania – : Kampuni ya Acer Inc., moja ya vinara duniani katika suluhisho la kisasa za kompyuta, imetangaza upanuzi wake wa kimkakati katika soko la Afrika Mashariki. Acer inaleta safu kamili ya bidhaa zenye utendaji wa hali ya juu – kuanzia zile za kiwango cha mwanzo mpakai vifaa vyenye ubora wa kiwango cha […]

Acer yajizatiti kupanua soko Afrika Mashariki kwa teknolojia ya kisasa Read More »

NMB Yatangaza Uwepo Rasmi Katika Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara – SabaSaba

Dar es Salaam. Benki ya NMB imeanza rasmi kutoa huduma zake katika Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara maarufu kama SabaSaba, yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam. Kupitia banda lake maalum, NMB inawakaribisha wananchi, wajasiriamali, pamoja na familia kwa ujumla kupata huduma kamili za kibenki pamoja na elimu ya fedha

NMB Yatangaza Uwepo Rasmi Katika Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara – SabaSaba Read More »

Suluhisho za kisasa za SICPA zinaongeza imani ya wateja na uadilifu wa soko

Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa kushirikiana na Shirika la Viwango Zanzibar (ZBS), limepata fursa ya kuwa mwenyeji wa Mkutano Mkuu wa 72 na Vikao vya Baraza la Shirika la Kanda la Viwango Afrika (ARSO), visiwani Zanzibar vilivyoanza Juni 23 hadi 28 mwaka huu. Taarifa iliyotolewa na Alfred Mapunda, Mkurugenzi Mkuu wa SICPA Tanzania, imesema kuwa

Suluhisho za kisasa za SICPA zinaongeza imani ya wateja na uadilifu wa soko Read More »

Mixx by Yas yashirikiana na EACLC na Honora Tanzania kuimarisha biashara za kidigitali Ubungo

Dar es Salaam. Kampuni ya Honora Tanzania kupitia huduma yake ya Mixx by Yas imetia saini makubaliano ya kimkakati na Kampuni ya EACLC pamoja na Honora Tanzania Mobile Solutions Limited, katika hafla maalum iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Makubaliano hayo yanaashiria hatua kubwa katika maendeleo ya biashara, teknolojia ya kifedha na huduma za kijamii

Mixx by Yas yashirikiana na EACLC na Honora Tanzania kuimarisha biashara za kidigitali Ubungo Read More »

SMZ yaipongeza NMB kwa kudhamini, kushiriki Kongamano la Uwekezaji Z’bar

NA MWANDISHI WETU, ZANZIBAR SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), kupitia Mamlaka yake ya Uwekezaji (ZIPA), imeishukuru, kuipongeza kuitunukia Cheti Maalum Benki ya NMB kwa ‘kulibeba mabegani’ kwa udhamini mnono na ushiriki wa Kongamano la Uwekezaji Zanzibar 2025, lililofungwa na Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi. Kongamano la Uwekezaji Zanzibar (ZIS), limefanyika kwa siku

SMZ yaipongeza NMB kwa kudhamini, kushiriki Kongamano la Uwekezaji Z’bar Read More »

Waziri Simbachawene avutiwa na huduma za NMB Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma

Dodoma, Tanzania Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene, ametembelea banda la Benki ya NMB katika ufunguzi rasmi wa maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea kufanyika Jijini Dodoma. Katika ziara hiyo, Mhe. Simbachawene alipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Biashara ya Serikali wa

Waziri Simbachawene avutiwa na huduma za NMB Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma Read More »

Rekodi za mapato, gawio la wanahisa NMB vyatikisa Kongamano la Uwekezaji Z’bar

Benki ya NMB imewahakikishia wawekezaji wadogo, wa kati na wakubwa walioshiriki Kongamano la Uwekezaji Zanzibar lililoratibiwa na Mamlaka ya Uwekezaji Zanzibar (ZIPA), kuwa iko imara kifedha kuwawezesha kushiriki Mapinduzi ya Kiuchumi visiwani humo na Tanzania kwa ujumla. Uthibitisho wa uimara wa NMB ni kuingia kwa benki hiyo katika Klabu ya Kampuni Zenye Thamani ya zaidi

Rekodi za mapato, gawio la wanahisa NMB vyatikisa Kongamano la Uwekezaji Z’bar Read More »