Mnyeti aipongeza NMB kuunga mkono wafugaji nchini
SERIKALI imesisitiza kuwa imejipanga kuhakikisha kuwa wafugaji nchini wanakuwa na uwezo wa kufanya ufugaji wa kisasa wenye tija zaidi na kuachana na mbinu duni kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa mifugo kutoka ndani na nje ya nchi. Hayo yasemwa jana Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Alexander Mnyeti, wakati wa uzinduzi wa Maonesho ya Tatu […]
Mnyeti aipongeza NMB kuunga mkono wafugaji nchini Read More »