TECNO yawaasa vijana kuhusu teknolojia ya AI, yazindua CAMON 40
Vijana wameaswa kukumbatia na kuichangamkia teknolojia mpya ya Akili Bandia yaani AI kwani haikwepeki kwa ulimwenguwa sasa hivi. Hayo yamesemwa na Mkufunzi wa kampuni ya TECNO, Jackline Saigero wakati wa uzinduzi rasmi wa simu mpya ya CAMON 40 JIjini Dar es Salaam ambayo ina uwezo mkubwa wa teknolojia ya AI. “Teknoljia hii haikwepeki kabisa katika […]
TECNO yawaasa vijana kuhusu teknolojia ya AI, yazindua CAMON 40 Read More »