Dk. Mpango azindua matawi ya NMB
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Philip Mpango, ametoa wito kwa wananchi kuepuka wakopeshaji binafsi maarufu kama kausha damu ambao hutoza riba kubwa na kunyanyasa wateja kupitia ukamataji wa mali za wadaiwa. Amebainisha kuwa kufunguliwa kwa matawi mapya ya NMB karibu na wananchi kutatoa fursa ya upatikanaji wa huduma za kifedha […]
Dk. Mpango azindua matawi ya NMB Read More »