Serikali yarahisisha huduma ya kubadilisha fedha za kigeni
Serikali imesema imerekebisha Kanuni za Maduka ya Kubadilisha Fedha za Kigeni za Mwaka 2019 na kutoa kanuni mpya za mwaka 2023, ili kurahisisha upatikanaji wa huduma za kubadilisha fedha za kigeni nchini. Hayo yamelezwa bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Hassan Chande, alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Chumbuni, Ussi Salum Pondeza, […]
Serikali yarahisisha huduma ya kubadilisha fedha za kigeni Read More »