Friday, March 20, 2026
spot_img
HomeHabariDkt. Biteko awaalika wadau kushiriki Mkutano wa Kikanda Matumizi Bora ya Nishati

Dkt. Biteko awaalika wadau kushiriki Mkutano wa Kikanda Matumizi Bora ya Nishati

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko anawaalika Wadau wa Matumizi Bora ya Nishati katika Mkutano wa Kikanda (REEC2024) utakaofanyika Jijini Arusha tarehe 4 na 5 Desemba, 2024.

Mkutano huo utahusisha Wadau mbalimbali kutoka Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments