Dkt. Biteko awaalika wadau kushiriki Mkutano wa Kikanda Matumizi Bora ya Nishati

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko anawaalika Wadau wa Matumizi Bora ya Nishati katika Mkutano wa Kikanda (REEC2024) utakaofanyika Jijini Arusha tarehe 4 na 5 Desemba, 2024.

Mkutano huo utahusisha Wadau mbalimbali kutoka Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *