Elimu

NACTVET yatoa darasa kwa Maafisa Udahili na Mitihani Vyuo Vikuu

Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) limeandaa semina maalum kwa Maafisa Udahili na Mitihani kutoka vyuo vikuu mbalimbali nchini, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuimarisha ubora wa elimu na usimamizi madhubuti wa taratibu, kanuni, sheria na miongozo inayosimamia udahili na mitihani kwa ngazi ya Astashahada na Stashahada. […]

NACTVET yatoa darasa kwa Maafisa Udahili na Mitihani Vyuo Vikuu Read More »

Kongamano fursa za ajira CBE laibua fursa kwa wanafunzi

Wizara ya Viwanda na Biashara imeweka mkakati wa kuhakikisha kuwa taasisi za elimu zinatoa mafunzo yanayozalisha wahitimu wenye uwezo wa kuzalisha ajira kwa wengine badala ya kusubiri kuajiriwa. Kauli hiyo aliitoa Naibu Waziri wa wizara hiyo, Exaud Kigahe mwishoni mwa wiki wakati wa kongamano la kuimarisha fursa za ajira na maendeleo endelevu ya Tanzania kaulimbiu

Kongamano fursa za ajira CBE laibua fursa kwa wanafunzi Read More »

CBE yaandaa kongamano kuwakwamua vijana na tatizo la ajira

Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), kimeandaa kongamano la kuimarisha fursa za ajira na maendeleo endelevu linalolenga kuwawezesha vijana kujiajiri. Hayo yamesemwa  jijini Dar es salaam na Mkuu wa chuo hicho, Prof Edda Lwoga, wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kongamano hilo litakalofanyika Alhamisi chuoni hapo.  Amesema mgeni rasmi katika Kongamano hilo anatarajiwa kuwa

CBE yaandaa kongamano kuwakwamua vijana na tatizo la ajira Read More »

GEL yawanoa wanafunzi wanaokwenda masomoni nje ya nchi

ZAIDI ya wanafunzi 200 wanatarajiwa kusafiri kwenda masomoni kwenye mataifa mbalimbali kwa mwaka wa masomo wa 2025/2026 hivi karibuni kuanza pitia uratibu wa Global Education Link (GEL). Hayo yalisemwa mwishoni mwa wiki na Mkurugenzi wa GEL, Abdulmalick Mollel, wakati wa kikao baina ya wanafunzi hao na wazazi wao kuhusu kukamilisha taratibu za safari. Wanafunzi hao

GEL yawanoa wanafunzi wanaokwenda masomoni nje ya nchi Read More »

Wanafunzi St Anne Marie Academy watoa msaada kituo cha yatima Dar

Wanafunzi wa shule ya St.Anne Marie Academy wametoa msaada wa vitu mbalimbali kwenye kituo cha kulea yatima cha  CHAKUWAMA jijini Dar es Salaam. Msaada uliotolewa na wanafunzi wa kidato cha sita wa shule hiyo ni pamoja na unga, mchele, sukari, mafuta ya kula, sabuni na vifaa mbalimbali vya mahitaji ya shule. Akizungumza kwenye makabidhiano hayo,

Wanafunzi St Anne Marie Academy watoa msaada kituo cha yatima Dar Read More »