Elimu

Serikali yampongeza Dk Rweikiza kwa uwekezaji sekta ya elimu

Serikali imempongeza Mkurugenzi wa shule ya St Anne Marie Academy ya Mbezi Kimara kwa Msuguri jijini Dar es Salaam, Dk Jasson Rweikiza kwa uwekezaji mkubwa ambao ameufanya kwenye sekta ya elimu. Pia imeipongeza shule hiyo kwa kuendelea kufanya vizuri kitaaluma mwaka hadi mwaka katika mitihani ya kitaifa. Pongezi hizo zilitolewa mwishoni mwa wiki na Beatrice

Serikali yampongeza Dk Rweikiza kwa uwekezaji sekta ya elimu Read More »

BOOST kinara mageuzi ya elimu Shule ya Msingi Mzizima

Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Mzizima Maua Kibendu, ameishukuru Serikali kupitia Mradi wa BOOST imewezesha ujenzi wa shule hiyo kuimarisha mazingira ya ujifunzaji. Pia ameongeza kuwa BOOST imewezesha mafunzo kwa Walimu 16, hali iliyochagiza ufundisha na Ujifunzaji chanya kwa wanafunzi. Mwanafunzi Abiero Odwar na Subra  Kumbata wameeleza kuwa miundombinu bora na vifaa vya kutosha

BOOST kinara mageuzi ya elimu Shule ya Msingi Mzizima Read More »

Ukurasa mpya wa kipindi pendwa cha watoto Akili and Me

Dar es Salaam, Tanzania – Ubongo, shirika linaloongoza Afrika katika kutoa elimu burudani linayo furaha kutangaza uzinduzi wa msimu wa tano wa kipindi chake cha maendeleo ya awali kwa watoto, Akili and Me, kikiwa na mwonekano mpya wa kuvutia na dhamira ya kuwasaidia watoto wadogo kuelewa hisia zao, kujenga ustahimilivu na kukuza uelewa. Kupitia muziki, simulizi, na

Ukurasa mpya wa kipindi pendwa cha watoto Akili and Me Read More »

Afisa Elimu Dar apongeza umahiri lugha ya kifaransa St Anne Marie Academy

Serikali imeahidi kuendelea kushirikiana na sekta binafsi katika elimu huku ikiipongeza shule ya St Anne Marie Academy ya jijini Dar es Salaam kwa kufanya vizuri kwenye matokeo ya mitihani ya kitaifa. Pongezi hizo zimetolewa leo jijini Dar es Salaam na Afisa Elimu wa Mkoa wa Dar es Salaam Gift Kyando wakati wa mahafali ya darasa

Afisa Elimu Dar apongeza umahiri lugha ya kifaransa St Anne Marie Academy Read More »

GEL yafungua milango ya mafanikio kwa wanafunzi wa Kitanzania

Mamia ya wanafunzi wanaotaka kusoma kozi mbalimbali nje ya nchi wamejitokeza kwenye maonyesho ya vyuo vikuu nje ya nchi ambapo wengi wamepata udahili wa papo kwa papo.  Maonyesho hayo yaliyofanyika jana jijini Dar es Salaam  na kushirikisha vyuo zaidi ya 20 kutoka nchi mbalimbali yanatarajia kufanyika tena kwenye mikoa ya Dodoma na Arusha hivi karibuni. 

GEL yafungua milango ya mafanikio kwa wanafunzi wa Kitanzania Read More »