NACTVET yatoa darasa kwa Maafisa Udahili na Mitihani Vyuo Vikuu
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) limeandaa semina maalum kwa Maafisa Udahili na Mitihani kutoka vyuo vikuu mbalimbali nchini, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuimarisha ubora wa elimu na usimamizi madhubuti wa taratibu, kanuni, sheria na miongozo inayosimamia udahili na mitihani kwa ngazi ya Astashahada na Stashahada. […]
NACTVET yatoa darasa kwa Maafisa Udahili na Mitihani Vyuo Vikuu Read More »