Handeni Mji yaja na mwarobaini wa utoro shuleni
Na Mwandishi Wetu, Handeni HALMASHAURI ya Mji Handeni, mkoani Tanga kupitia Idara ya Elimu Msingi imepongezwa kwa kubuni mkakati maalum unaoongeza uwajibikaji wa wazazi katika kukabiliana na utoro shuleni. Pongezi hizo zimetolewa mjini hapa na Mkuu wa Wilaya ya Handeni, mkoani Tanga, Salum Nyamwese katika kikao na Menejimenti ya Halmashauri hiyo (CMT). Amesema mkakati huo […]
Handeni Mji yaja na mwarobaini wa utoro shuleni Read More »