Ushirikiano Vyuo vya TVET Tanzania na China waendelea kung’aa
Tanzania na China zimeendelea kuimarisha ushirikiano katika nyanja ya Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi stadi (TVET) kwa faida ya pande zote. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi wa Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dk. Fredrick Salukele, katika ufunguzi wa semina ya kubadilishana uzoefu na ujuzi […]
Ushirikiano Vyuo vya TVET Tanzania na China waendelea kung’aa Read More »










