Elimu

Wanafunzi St Anne Marie Academy watoa msaada kituo cha yatima Dar

Wanafunzi wa shule ya St.Anne Marie Academy wametoa msaada wa vitu mbalimbali kwenye kituo cha kulea yatima cha  CHAKUWAMA jijini Dar es Salaam. Msaada uliotolewa na wanafunzi wa kidato cha sita wa shule hiyo ni pamoja na unga, mchele, sukari, mafuta ya kula, sabuni na vifaa mbalimbali vya mahitaji ya shule. Akizungumza kwenye makabidhiano hayo, […]

Wanafunzi St Anne Marie Academy watoa msaada kituo cha yatima Dar Read More »

Wanafunzi TUSIIME kufundishwa Artificial intelligence AI

KATIKA jitihada za kuendana na mtaala mpya wa elimu uliozinduliwa hivi karibuni na Serikali, unaojumuisha Mahili 11 yanayolenga kuendeleza ujuzi na stadi kwa wanafunzi, shule za Tusiime zimechagua program za Kompyuta kama kipaumbele chao. “Tukiwa na dira ya kuandaa wanafunzi kwa maisha ya kesho yanayotawaliwa na teknolojia, hususan katika zama hizi za akili mnemba Artificial

Wanafunzi TUSIIME kufundishwa Artificial intelligence AI Read More »

Puma Energy Tanzania yakabidhi zawadi shindano la uchoraji kampeni ya Usalama Barabarani Mashuleni

Dar es Salaam: Mei 7, 2025. Kampuni ya Puma Energy Tanzania kwa kushirikiana na shirika la Amend Tanzania wamekabidhi zawadi kwa washindi wa shindano la usalama barabarani ambalo ni sehemu muhimu ya programu ya ‘Be Road Safe Africa.’ Hafla hiyo ni kielelezo cha mafanikio ya kampeni ya elimu ya usalama barabarani iliyobuniwa kuhamasisha matumizi bora ya barabara

Puma Energy Tanzania yakabidhi zawadi shindano la uchoraji kampeni ya Usalama Barabarani Mashuleni Read More »

CBE yawakumbuka wenye uoni hafifu na usikivu hafifu Shule ya Benjamin Mkapa

CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada wa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milioni 4.4 kwa shule ya elimu jumuishi ya Benjamin Mkapa ya jijini Dar es Salaam. Miongoni mwa msaada huo ni mashine ya kukuzia maandishi kwa wanafunzi wenye uoni hafifu, vifaa vya kusaidia usikivu kwa wenye usikivu hafifu (hearing aid) na

CBE yawakumbuka wenye uoni hafifu na usikivu hafifu Shule ya Benjamin Mkapa Read More »

Dk. Samia: Serikali inaimarisha mazingira ya kujifunza na kufundishia

“Naendelea na ziara ndani ya Mkoa wa Tanga. Na kubwa ni kuangalia kazi zilizofanywa na serikali ndani ya mkoa huu, kazi ambazo zinaenda kupunguza au kuondosha shida za wananchi. Nilipofika hapa nimepitishwa kwenye ramani ya shule hii. Na kwa kiasi kikubwa nimefurahi kuona kuwa awamu ya kwanza ya ujenzi wa shule hii imetimia. Na kwamba

Dk. Samia: Serikali inaimarisha mazingira ya kujifunza na kufundishia Read More »

Kitabu cha JUA na UA, chazinduliwa, kichocheo maadili na ubunifu kwa watoto

Kitabu cha JUA Na UA, ambacho ni sehemu ya mfululizo wa vitabu vya hadithi za watoto vilivyoandikwa na Mtanzania Prudence Zoe Glorious, kimezinduliwa rasmi mwishoni mwa wiki, Februari 15, 2025. JUA Na UA ni kitabu kinachobeba falsafa za Kitanzania, kilizinduliwa katika ofisi mpya ya PZG-PR, iliyopo 50 Msasani Road, Oysterbay, Dar es Salaam kikiwa na

Kitabu cha JUA na UA, chazinduliwa, kichocheo maadili na ubunifu kwa watoto Read More »

Mchengerwa awaweka kikaangoni wakurugenzi watoto kusomea chini ya mti

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa, ameagiza tathmini ifanyike kubaini maeneo ambapo wanafunzi wanalazimika kusoma chini au kukaa chini ya miti. Pia, amewataka wakurugenzi wa halmashauri na wataalamu wao kuandikiwa barua za kujieleza juu ya hali hiyo. Agizo hilo amelitoa leo, Februari 13, 2025, jijini Dodoma, wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya kukabiliana

Mchengerwa awaweka kikaangoni wakurugenzi watoto kusomea chini ya mti Read More »