Wanafunzi St Anne Marie Academy watoa msaada kituo cha yatima Dar
Wanafunzi wa shule ya St.Anne Marie Academy wametoa msaada wa vitu mbalimbali kwenye kituo cha kulea yatima cha CHAKUWAMA jijini Dar es Salaam. Msaada uliotolewa na wanafunzi wa kidato cha sita wa shule hiyo ni pamoja na unga, mchele, sukari, mafuta ya kula, sabuni na vifaa mbalimbali vya mahitaji ya shule. Akizungumza kwenye makabidhiano hayo, […]
Wanafunzi St Anne Marie Academy watoa msaada kituo cha yatima Dar Read More »