Dk. Biteko atoa kongole mafanikio ya chuo cha CBE
Naibu Waziri Mkuu, Dk.Doto Biteko amepongea mafanikio ya Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), na kukitaka kutobweteka na mafanikio hayo na badala yake waendeleze juhudi kutoa wahitimu bora. Aliyasema hayo jana, wakati wa maadhimisho ya miaka 60 ya kuanzishwa kwa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), yaliyofanyika kampasi kuu ya Dar es Salaam. Alisema vyuo […]
Dk. Biteko atoa kongole mafanikio ya chuo cha CBE Read More »