IAA kuzindua kampasi mpya mbili kimataifa
CHUO cha Uhasibu Arusha (IAA), kimetangaza mpango wa kufungua kampasi mpya nje ya nchi, moja katika Visiwa vya Comoro na nyingine Sudan Kusini , kufuatia mahitaji makubwa ya elimu ya juu na fursa za maendeleo katika maeneo hayo. Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Eliamani Sedoyeka, ameeleza mpango huo, wakati wa kikao na wahariri wa vyombo […]
IAA kuzindua kampasi mpya mbili kimataifa Read More »