NMB waziwezesha shule 15 Arusha vitanda na madawati
Benki ya NMB imenunua na kugawa vitanda, madawati, viti na meza vyenye thamani ya Shilingi milioni 125.2 katika shule 15 za Wilaya ya Arusha na Arumeru. Kati ya shule hizo zilizonufaika, 11 ni za Arusha Jiji ikiwemo shule za msingi Unga Limited waliopewa madawati 150, huku Baraa, Lemara, Sanawari, Elerai na Kijenge kila moja ikipata […]
NMB waziwezesha shule 15 Arusha vitanda na madawati Read More »