Kitabu cha JUA na UA, chazinduliwa, kichocheo maadili na ubunifu kwa watoto
Kitabu cha JUA Na UA, ambacho ni sehemu ya mfululizo wa vitabu vya hadithi za watoto vilivyoandikwa na Mtanzania Prudence Zoe Glorious, kimezinduliwa rasmi mwishoni mwa wiki, Februari 15, 2025. JUA Na UA ni kitabu kinachobeba falsafa za Kitanzania, kilizinduliwa katika ofisi mpya ya PZG-PR, iliyopo 50 Msasani Road, Oysterbay, Dar es Salaam kikiwa na […]
Kitabu cha JUA na UA, chazinduliwa, kichocheo maadili na ubunifu kwa watoto Read More »