Elimu

Kitabu cha JUA na UA, chazinduliwa, kichocheo maadili na ubunifu kwa watoto

Kitabu cha JUA Na UA, ambacho ni sehemu ya mfululizo wa vitabu vya hadithi za watoto vilivyoandikwa na Mtanzania Prudence Zoe Glorious, kimezinduliwa rasmi mwishoni mwa wiki, Februari 15, 2025. JUA Na UA ni kitabu kinachobeba falsafa za Kitanzania, kilizinduliwa katika ofisi mpya ya PZG-PR, iliyopo 50 Msasani Road, Oysterbay, Dar es Salaam kikiwa na […]

Kitabu cha JUA na UA, chazinduliwa, kichocheo maadili na ubunifu kwa watoto Read More »

Mchengerwa awaweka kikaangoni wakurugenzi watoto kusomea chini ya mti

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa, ameagiza tathmini ifanyike kubaini maeneo ambapo wanafunzi wanalazimika kusoma chini au kukaa chini ya miti. Pia, amewataka wakurugenzi wa halmashauri na wataalamu wao kuandikiwa barua za kujieleza juu ya hali hiyo. Agizo hilo amelitoa leo, Februari 13, 2025, jijini Dodoma, wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya kukabiliana

Mchengerwa awaweka kikaangoni wakurugenzi watoto kusomea chini ya mti Read More »

Waziri Jafo amtaka mkandarasi jengo la Metrolojia CBE kuzingatia ubora

WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Selemani Jafo amemwagiza mkandarasi Kampuni ya LI JUN Construction ya China anayejenga jengo la Metrolojia la Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), kukamilisha kwa wakati na kwa ubora waliokubaliana kwenye mkataba. Waziri Jafo ametoa maelekezo hayo leo alipotembelea ujenzi wa jengo hilo unaoendelea chuoni hapo ambalo litatumika kwaajili ya masomo

Waziri Jafo amtaka mkandarasi jengo la Metrolojia CBE kuzingatia ubora Read More »