HESLB yawapangia mikopo wanafunzi elimu ya juu 9,000 awamu ya 4
BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu imetangaza awamu ya nne yenye wanafunzi 9,068 wa shahada ya awali na stashahada (diploma) waliopangiwa mikopo yenye thamani bilioni 27.52 kwa mwaka wa masomo 2024/25. Wanafunzi 4,400 wa mwaka wa kwanza waliodahiliwa katika taasisi mbalimbali za elimu ya juu zilizopo nchini kwa ajili ya masomo ya […]
HESLB yawapangia mikopo wanafunzi elimu ya juu 9,000 awamu ya 4 Read More »