“Tupo tayari kutoa elimu kwa wazabuni katika kandaâ€-PPAA
Katika jitihada za kuwafikia wadau wa ununuzi wa umma hususan wazabuni, Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imeweka mkakati wa kutoa elimu kwa wazabuni katika kanda zote nchini. Akiongea na waandishi wa Habari kuhusu mkakati huo, pembezoni mwa Kongamano la 16 la Ununuzi wa Umma la Afrika Mashariki Jijini Arusha, Katibu Mtendaji wa […]
“Tupo tayari kutoa elimu kwa wazabuni katika kandaâ€-PPAA Read More »