Naibu Waziri Kigahe apongeza taaluma CBE
SERIKALI imeahidi kuendelea kukiwezesha Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), ili kiwe chuo bora kituo cha umahiri kwa nchi za Afrika Mashariki na kati na kusini mwa Afrika. Hayo yamesemwa leo jijini Dar es Salaam na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Exaud Kigahe, wakati wa mahafali ya 59 ya chuo cha elimu ya biashata […]
Naibu Waziri Kigahe apongeza taaluma CBE Read More »