Prof.Mkenda: Majibu ya hoja za wadau wa elimu kubainishwa Jan. 31
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda amesema uzinduzi Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014, Toleo la 2023 na Mitaala ilivyoboreshwa utafanyika Januari 31, mwaka huu jijini Dodoma na imezingatia masuala mbalimbali ikiwamo hoja za wadau kuhusu lugha ya kufundishia na matumizi ya Akili Mnemba. Akizungumza leo na waandishi wa habari […]
Prof.Mkenda: Majibu ya hoja za wadau wa elimu kubainishwa Jan. 31 Read More »