Elimu

Prof.Mkenda: Majibu ya hoja za wadau wa elimu kubainishwa Jan. 31

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda amesema uzinduzi Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014, Toleo la 2023 na Mitaala ilivyoboreshwa utafanyika Januari 31, mwaka huu jijini Dodoma na imezingatia masuala mbalimbali ikiwamo hoja za wadau kuhusu lugha ya kufundishia na matumizi ya Akili Mnemba. Akizungumza leo na waandishi wa habari […]

Prof.Mkenda: Majibu ya hoja za wadau wa elimu kubainishwa Jan. 31 Read More »

Wajasiriamali Soko la Tegeta Nyuki wanufaika na elimu ya hifadhi ya jamii kutoka NSSF

Lengo la Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kufikisha elimu ya hifadhi ya jamii kwa makundi mbalimbali ya wananchi linaendelea kwa kasi baada ya wajasiriamali katika soko ya Tegeta Nyuki, jijini Dar es Salaam, kuhamasika kujiwekea akiba baada ya kupata elimu kutoka NSSF ili waweze kunufaika na mafao. NSSF kupitia kwa Meneja wa

Wajasiriamali Soko la Tegeta Nyuki wanufaika na elimu ya hifadhi ya jamii kutoka NSSF Read More »

Mjadala wa kitabu wafanyika ndani ya behewa la SGR, kuhamasisha usomaji

Kwa mara ya kwanza katika historia, behewa namba 12 la treni ya SGR limegeuka jukwaa la maarifa ambapo mjadala wa kitabu cha mwezi, “The Diary of a CEO,” ulifanyika. Tukio hili liliambatana na mazungumzo kuhusu umuhimu wa kujisomea vitabu kwa vijana wa Kitanzania. Mjadala huo uliandaliwa na Hekima Book Club, kikundi kinachojulikana kwa juhudi zake

Mjadala wa kitabu wafanyika ndani ya behewa la SGR, kuhamasisha usomaji Read More »

Anne Makinda ataka tafiti kwanini wavulana wanashuka kitaaluma

SPIKA mstaafu Anne Makinda ambaye pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kairuki amependekeza zifanyike tafiti kujua sababu za watoto wengi wa kiume kuachwa nyuma kitaaluma na wenzao wa kike. Aliyasema hayo leo wakati wa kongamano la sita kitaaluma lililoandaliwa na chuo hicho kujadili namna sekta ya afya inaavyoweza kufanya mabadiliko kwa huduma hizokutolewa kidijitali.

Anne Makinda ataka tafiti kwanini wavulana wanashuka kitaaluma Read More »

Wadau wa elimu wakutana kujadili ubunifu na uwezeshaji kwa maendeleo endelevu

Wadau, wanataaluma, na wanafunzi wameshiriki kongamano la 11 la kitaaluma (Convocation) juu ya uwezeshaji na ubunifu katika kubadilisha elimu kuwa fursa. Akizungumza juzi jijini Dar es Salaam, Naibu Mkuu wa Chuo Taaluma, Prof. Sotco Komba, alisema kuwa kongamano hili limekuwa fursa kwa wanafunzi kujifunza masuala ya ubunifu, ambapo katika maisha ya sasa ubunifu ni kichocheo

Wadau wa elimu wakutana kujadili ubunifu na uwezeshaji kwa maendeleo endelevu Read More »

Madawati 300 yatolewa na Lions Club Infinity kuboresha Shule ya Msingi Mbagala

Shule ya Msingi Mbagala imepokea msaada wa madawati 300 kutoka kwa wanachama wa Lions Club Infinity Dar es Salaam, hatua inayolenga kuboresha mazingira ya kujifunzia kwa wanafunzi shuleni hapo. Msaada huo umetolewa baada ya wanachama wa klabu hiyo kutembelea shule hiyo mwaka jana, ambapo walitoa msaada wa taulo za kike na kushuhudia changamoto ya baadhi

Madawati 300 yatolewa na Lions Club Infinity kuboresha Shule ya Msingi Mbagala Read More »