Watakaofiwa na wazazi Brilliant kuendelea na masomo
Mbunge wa Bukoba Vijijini (CCM), Dk. Jasson Rweikzia, ametangaza kwamba kwenye mtandao wa shule za St Anne Marie Academy unaominilikia pia shule ya Brilliant ya Kimara Mbezi kwa Msuguri jijini Dar es Salaam, hakuna mwanafunzi atakayefukuzwa shule baada ya wazazi wake kufariki na kushindwa kulipa ada ya kuendelea na masomo. Alitangaza uamuzi huo mwishoni mwa […]
Watakaofiwa na wazazi Brilliant kuendelea na masomo Read More »