Green Acres kuonyesha maajabu mitihani ya la 7, kidato cha nne
SERIKALI imeipongeza shule ya msingi na sekondari, Green Acres ya jijini Dar es Salaam kwa namna ambavyo imekuwa ikifanya vizuri katika matokeo ya mitihani ya kitaifa kuanzia ngazi ya Wilaya hadi taifa. Pongezi hizo zilitolewa mwishoni mwa wiki na Mkurugenzi Msaidizi wa Elimu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Victor George, wakati wa mahafali […]
Green Acres kuonyesha maajabu mitihani ya la 7, kidato cha nne Read More »