Shule za msingi 139 Mbinga kupewa kompyuta
📌 Kapinga asema lengo ni kuchochea kasi ya ukuaji wa Elimu 📌 Aweka Jiwe la Msingi ujenzi wa nyumba ya Mwalimu Shule ya Mbungani 📌 Asema miradi ya maendeleo itawafikia wananchi wote bila kuangalia umbali Naibu Waziri wa Nishati ambaye pia ni Mbunge wa Vijana Mkoa wa Ruvuma (CCM), Judith Kapinga ameahidi kutoa kompyuta 139 […]
Shule za msingi 139 Mbinga kupewa kompyuta Read More »