Elimu

Green Acres kuonyesha maajabu mitihani ya la 7, kidato cha nne

SERIKALI imeipongeza shule ya msingi na sekondari, Green Acres ya jijini Dar es Salaam kwa namna ambavyo imekuwa ikifanya vizuri katika matokeo ya mitihani ya kitaifa kuanzia ngazi ya Wilaya hadi taifa. Pongezi hizo zilitolewa mwishoni mwa wiki na Mkurugenzi Msaidizi wa Elimu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Victor George, wakati wa mahafali […]

Green Acres kuonyesha maajabu mitihani ya la 7, kidato cha nne Read More »

HESLB, NIDA, RITA na CREDIT INFO watekeleza kwa vitendo maelekezo ya Rais Samia

BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), Mamlaka ya Vitambulisho Vya Taifa (NIDA) Wakala wa Usajili ,Ufilisi na Udhamini( RITA) na Taasisi za uchakataji wa taarifa za waombaji mikopo kwenye Taasisi za Fedha (CREDIT INFO), zimeingia makubaliano ya kubadilishana taarifa kupitia mifumo ya Tehama kwaajili ya kurahisisha ukusanyaji madeni kwa wanufaika wenye

HESLB, NIDA, RITA na CREDIT INFO watekeleza kwa vitendo maelekezo ya Rais Samia Read More »

Wazazi waduwazwa na vipaji vya wanafunzi St Anne Marie Academy

UMAHIRI ulionyeshwa na wanafunzi wa shule ya sekondari ya St Anne Marie Academy kwenye kuzungumza lugha mbalimbali kumewashangaza wazazi walihudhuria mahafali ya shule hiyo mwishoni mwa wiki. Wanafunzi hao walionyesha vipaji vyao jana Jumamosi  kwenye mahafali ya 20 ya shule ya sekondari shuleni hapo Mbezi Kimara kwa Msuguri jijini Dar es Salaam. Wanafunzi hao walionyesha

Wazazi waduwazwa na vipaji vya wanafunzi St Anne Marie Academy Read More »