Elimu

Wazazi, walezi wakumbushwa malezi, “msiwaachie walimu pekee”

OFISA Elimu Msingi Kata ya Mikocheni, Elizabeth Lulagora amesema wazazi na walezi, wasiuache mzigo wa ulezi kwa walimu pekee, kwa madai kwamba wapo ‘bize’ kutafuta fedha za mahitaji ya familia. Lulagora, akimwakilisha Ofisa Elimu Msingi wa Manispaa ya Kinondoni, aliyasema hayo hivi karibuni kwenye mahafali ya 18 kwa wahitimu watarajiwa wa darasa la saba katika […]

Wazazi, walezi wakumbushwa malezi, “msiwaachie walimu pekee” Read More »

Benki ya NBC yatoa elimu ya fedha kwa wanafunzi, walimu Shule ya Sekondari Pugu

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imetoa elimu ya fedha na umuhimu wa uwekaji akiba kwa wanafunzi na walimu wa Shule ya Sekondari ya Wavulana ya Pugu iliyopo Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam. Hatua hiyo inalenga kutoa fursa kwa wanafunzi hao kujifunza masuala ya kifedha ili kuwajengea utamaduni wa kujiwekea akiba, kubuni mawazo

Benki ya NBC yatoa elimu ya fedha kwa wanafunzi, walimu Shule ya Sekondari Pugu Read More »

Shule ya Sekondari Hasnuu Makame yaitikia agizo la matumizi ya Nishati safi ya kupikia

Moja ya maagizo ya Serikali kuelekea katika safari matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia nchini ni taasisi zikiwemo shule kuachana na matumizi ya nishati zisizo safi na salama kama kuni na mkaa wa asili na kuanza kutumia nishati safi ya kupikia ikiwemo gesi. Shule ya Sekondari ya Hasnuu Makame, iliyopo Mkoa wa Kusini Unguja Visiwani

Shule ya Sekondari Hasnuu Makame yaitikia agizo la matumizi ya Nishati safi ya kupikia Read More »