Elimu

Afisa Mtendaji Mkuu NMB awafunda Wahitimu ‘Form Four’ Charlotte Sekondari

KUELEKEA mitihani ya Taifa ya Kidato cha Nne itakayofanyika Novemba 11, 2024, wahitimu wa Shule ya Sekondari Charlotte iliyopo Tungi Mkwajuni, Manispaa ya Morogoro, wametakiwa kumtanguliza Mungu, kuwa na nidhamu, bidii, uadilifu na uaminifu, ili kupata mafanikio zaidi kielimu, kimaisha na kiimani. Wito huo umeetolewa na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Bi. Ruth […]

Afisa Mtendaji Mkuu NMB awafunda Wahitimu ‘Form Four’ Charlotte Sekondari Read More »

HESLB, NIDA, RITA na CREDIT INFO watekeleza kwa vitendo maelekezo ya Rais Samia

BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), Mamlaka ya Vitambulisho Vya Taifa (NIDA) Wakala wa Usajili ,Ufilisi na Udhamini( RITA) na Taasisi za uchakataji wa taarifa za waombaji mikopo kwenye Taasisi za Fedha (CREDIT INFO), zimeingia makubaliano ya kubadilishana taarifa kupitia mifumo ya Tehama kwaajili ya kurahisisha ukusanyaji madeni kwa wanufaika wenye

HESLB, NIDA, RITA na CREDIT INFO watekeleza kwa vitendo maelekezo ya Rais Samia Read More »