Faida tano marekebisho ya Katiba ya CCM
Katika hali ya kisiasa inayobadilika kila uchao, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kuonyesha uhai na uwezo wa kujiimarisha kwa kufanya marekebisho yenye tija kwenye Katiba yake. Miongoni mwa marekebisho yaliyozua mijadala chanya ni mabadiliko ya Ibara ya 99(3)(f) ya Katiba ya CCM, ambayo sasa yanaruhusu Kamati Kuu ya CCM (CCM) kurudisha majina ya watiania wa […]
Faida tano marekebisho ya Katiba ya CCM Read More »