Naibu Waziri Sangu aipongeza PSSSF kwa kuendelea kulipa mafao kwa wakati
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Deus Sangu, ameupongeza Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) kwa jinsi unavyotekeleza majukumu yake ya kuhakikisha wastaafu wanapatiwa mafao yao kwa wakati. Ameyasema hayo alipotembelea banda la watoa huduma wa PSSSF kwenye mkutano mkuu wa kwanza wa Maafisa Usimamizi wa […]
Naibu Waziri Sangu aipongeza PSSSF kwa kuendelea kulipa mafao kwa wakati Read More »