Dorothy Semu: CCM haitaki uchaguzi huru, lakini sisi tumejipanga
Kiongozi wa ACT Wazalendo, Dorothy Semu ametoa kauli kali dhidi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), akikituhumu kwa kutoonyesha nia yoyote ya kuhakikisha uchaguzi mkuu ujao unakuwa huru na wa kuaminika. Akizungumza Julai 10, 2025 katika mkutano wa hadhara uliofanyika Jimbo la Same Mashariki mkoani Kilimanjaro, Semu alisema, “Chama cha Mapinduzi. Hakitaki kusikia wala hakijafanya jitihada […]
Dorothy Semu: CCM haitaki uchaguzi huru, lakini sisi tumejipanga Read More »