Wataalam waonywa wanaotumia chanjo kujinufaisha kibiashara
Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imetoa onyo kwa maafisa na watalaam wanaotekeleza Kampeni ya Kitaifa ya Chanjo na Utambuzi wa Mifugo kutotumia vifaa vya chanjo kujinufaisha kibiashara na badala yake vitumike kuchanja Mifugo kama ilivyokusudiwa na serikali. Akizungumza na wafugaji leo Julai 4, 2025 wakati wa Uhamazishaji wa kampeni hiyo katika halmshauri ya […]
Wataalam waonywa wanaotumia chanjo kujinufaisha kibiashara Read More »