Suluhisho za kisasa za SICPA zinaongeza imani ya wateja na uadilifu wa soko
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa kushirikiana na Shirika la Viwango Zanzibar (ZBS), limepata fursa ya kuwa mwenyeji wa Mkutano Mkuu wa 72 na Vikao vya Baraza la Shirika la Kanda la Viwango Afrika (ARSO), visiwani Zanzibar vilivyoanza Juni 23 hadi 28 mwaka huu. Taarifa iliyotolewa na Alfred Mapunda, Mkurugenzi Mkuu wa SICPA Tanzania, imesema kuwa […]
Suluhisho za kisasa za SICPA zinaongeza imani ya wateja na uadilifu wa soko Read More »