ATCL yapongezwa kwa ulipaji wa Kodi bila kikwazo
Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Ndege Tanzania (ATCL) imepata utambuzi wa kimataifa kutoka Serikali ya India kama mtoa huduma anayeaminika zaidi. Hatua hiyo inazidi kuimarisha hadhi yake katika masoko ya nje na pia ATCL imepongezwa kwa kuendesha shughuli zake kwa uwazi, uadilifu, na kwa kuzingatia kikamilifu sheria mbalimbali ikiwemo za kodi. Utambuzi huo ulitolewa na […]
ATCL yapongezwa kwa ulipaji wa Kodi bila kikwazo Read More »