Waziri Chana aongoza kikao cha LATF kwa njia mtandao
Waziri wa Maliasili na Utalii wa Tanzania ambaye pia ni Rais wa Baraza la Usimamizi wa Mkataba wa Lusaka (LATF Governing Council), Balozi Dk. Pindi Chana, ameongoza kikao cha ngazi ya juu cha kuamua hatma ya uongozi wa Mkurugenzi wa LATF, Edward Phiri, ambaye mkataba wake ulikuwa umemalizika. Kikao hicho cha ‘Ministerial Bureau’, kilichofanyika leo, […]
Waziri Chana aongoza kikao cha LATF kwa njia mtandao Read More »










