Mtu mmoja akamatwa kwa shambulio la Padri Kitima
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linamshikilia Rauli Mahabi kwa tuhuma za kujeruhiwa kwa Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Charles Kitima. Hatua ya kushikiliwa kwa Mahabi mkazi wa Kurasini, Dar es Salaam, imetolewa na Kamanda wa Polisi Kanda maalumu ya Dar es Salaam kupitia kwa SACP Jumanne […]
Mtu mmoja akamatwa kwa shambulio la Padri Kitima Read More »