Bei ya kujaza Gesi (LPG) kwa matumizi ya kupikia ni himilivu – Kapinga
📌 Wizara ya Nishati na TAMISEMI zaendelea kushirikiana kuhakikisha Shule mpya zinafungwa mifumo ya Nishati Safi ya Kupikia. Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema gharama ya kujaza gesi kwenye mitungi (LPG) ni himilivu ikiwa ni jitihada zinazoendelea kuchukuliwa na Serikali ili kuwezesha matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia. Kapinga ameyasema hayo leo Juni 16, […]
Bei ya kujaza Gesi (LPG) kwa matumizi ya kupikia ni himilivu – Kapinga Read More »