Serikali yazindua Mkakati wa Mawasiliano wa Nishati Safi
Serikali kwa kushirikiana na Umoja wa Ulaya, Shirika la Maendeleo la Mitaji la Umoja wa Mataifa (UNCDF) na wadau wengine wa maendeleo, leo imezindua rasmi Mkakati wa Mawasiliano wa Kitaifa wa Nishati Safi ya Kupikia pamoja na Kampeni ya Uhamasishaji kuhusu nishati safi katika hafla iliyofanyika jijini Dodoma. Uzinduzi huu ni hatua muhimu katika juhudi […]
Serikali yazindua Mkakati wa Mawasiliano wa Nishati Safi Read More »