Rais wa Finland atembelea Makumbusho ya Taifa
Rais wa Jamhuri ya Finland, Alexander Stubb, ametembelea Makumbusho ya Taifa la Tanzania jijini Dar es Salaam na kuonesha kufurahishwa na maonesho ya historia ya mwanadamu yaliyopo katika jumba hilo la kihistoria. Akizungumza katika ziara hiyo jana, Mei 15 2025, Rais Stubb amesema kuwa amepata fursa ya kujionea historia ya mwanadamu, jambo lililomgusa sana na […]
Rais wa Finland atembelea Makumbusho ya Taifa Read More »