REA yakamilisha kufikisha umeme vijiji vyote 523 Lindi
📌 Shilingi Bilioni 186.4 zatumika 📌 Wananchi wasisitizwa kulinda miundombinu ya umeme 📌 Vitongoji 1481 kati ya 2406 tayari vimefikishiwa umeme Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wamekabidhi rasmi Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Zainab Telack Vijiji vyote 523 ambavyo tayari vimefikishiwa umeme. Akizungumza wakati wa hafla hiyo iliyofanyika leo Mei 7, 2025 katika Ofisi ya […]
REA yakamilisha kufikisha umeme vijiji vyote 523 Lindi Read More »