Habari

Tuzo ya Kijana Mwenye Ushawishi Barani Afrika yamfikia Rais Samia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt, Samia Suluhu Hassan katika Picha ya pamoja na Mtanzania Steven Magombeka Maarufu Kama Kasampaida ambae hivi karibuni alishinda Tuzo ya Vijana Wenye Ushawishi Barani Afrika, akikabidhi Tuzo hiyo kwa Rais Ikulu ya Chamwino Dodoma leo April 29,2025. Itakumbukwa Kijana Magombeka alishinda Tuzo hiyo tarehe 12 ya mwezi […]

Tuzo ya Kijana Mwenye Ushawishi Barani Afrika yamfikia Rais Samia Read More »

CBE yawakumbuka wenye uoni hafifu na usikivu hafifu Shule ya Benjamin Mkapa

CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada wa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milioni 4.4 kwa shule ya elimu jumuishi ya Benjamin Mkapa ya jijini Dar es Salaam. Miongoni mwa msaada huo ni mashine ya kukuzia maandishi kwa wanafunzi wenye uoni hafifu, vifaa vya kusaidia usikivu kwa wenye usikivu hafifu (hearing aid) na

CBE yawakumbuka wenye uoni hafifu na usikivu hafifu Shule ya Benjamin Mkapa Read More »

WCF yapongezwa kwa kujumuisha Wafanyakazi Wenye Mahitaji Maalumu

Watumishi hao walimueleza Kikwete namna WCF inavyowajumuisha kikamilifu katika kila hatua na matukio yote yanayohusisha wafanyakazi na kuwawezesha kwa kuwapatia vifaa wezeshi vinavyowarahisishia kutekeleza majukumu yao ya kila siku. “Nilipoanza kazi WCF, waliniuliza vifaa ninavyohitaji katika kutekeleza majukumu yangu, ambapo niliwaeleza na nilipatiwa vifaa hivyo na kwa sasa ninaendelea kutekeleza mjukumu yangu kikamilifu” Alieleza Bw.

WCF yapongezwa kwa kujumuisha Wafanyakazi Wenye Mahitaji Maalumu Read More »

Serikali yasisitiza utamaduni wa kujikinga, Tanzania ikiadhimisha Siku ya Usalama na Afya Duniani Singida

Serikali imetoa wito kwa waajiri, wafanyakazi na wananchi kwa ujumla kujenga utamaduni wa kujikinga dhidi ya ajali na magonjwa mahali pa kazi ili kuepuka athari zinazoweza kujitokeza katika uchumi na ustawi wa wafanyakazi nchini. Wito huo wa Serikali umetolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete, alipowaongoza

Serikali yasisitiza utamaduni wa kujikinga, Tanzania ikiadhimisha Siku ya Usalama na Afya Duniani Singida Read More »

Kampuni ya Perseus yatangaza kuanza ujenzi wa mgodi wa dhahabu wa Nyanzaga

Kampuni ya Perseus ya Nchini Australia yatoa tangazo rasmi la kuanza ujenzi wa mgodi wa dhahabu wa Nyanzaga uliopo Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza utakaomilikiwa na Kampuni ya Ubia ya Sotta ambapo Kampuni ya Perseus ina umiliki wa hisa za 84% na Serikali ya Tanzania ina umiliki hisa zisizofifishwa za 16% . Taarifa hiyo iliyotolewa leo

Kampuni ya Perseus yatangaza kuanza ujenzi wa mgodi wa dhahabu wa Nyanzaga Read More »

Maonesho Ya OSHA Singida: Waziri Kikwete jinsi PSSSF Kidijitali ilivyopokelewa na wanachama

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete, ametembelea banda la Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) kwenye kilele cha Maonesho ya Wiki ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kwenye viwanja vya Mandewa mkoani Singida Aprili 28, 2025. Katika banda la PSSSF,

Maonesho Ya OSHA Singida: Waziri Kikwete jinsi PSSSF Kidijitali ilivyopokelewa na wanachama Read More »

Zuhura: Michezo ni mwarobaini magonjwa yasiyo ya kuambukiza kwa wafanyakazi

NAIBU Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Zuhura Yunus amesisitiza wafanyakazi wa sekta mbalimbali nchini kujenga tabia ya kushiriki michezo na kufanya mazoezi ili kuimarisha afya zao na kuepuka magonjwa yasiyo ya kuambukiza ambayo yanawakabili watu wengi ulimwenguni. Zuhura alitoa wito huo wakati akifunga Bonanza la michezo (OSHA Bonanza)

Zuhura: Michezo ni mwarobaini magonjwa yasiyo ya kuambukiza kwa wafanyakazi Read More »