Tuzo ya Kijana Mwenye Ushawishi Barani Afrika yamfikia Rais Samia
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt, Samia Suluhu Hassan katika Picha ya pamoja na Mtanzania Steven Magombeka Maarufu Kama Kasampaida ambae hivi karibuni alishinda Tuzo ya Vijana Wenye Ushawishi Barani Afrika, akikabidhi Tuzo hiyo kwa Rais Ikulu ya Chamwino Dodoma leo April 29,2025. Itakumbukwa Kijana Magombeka alishinda Tuzo hiyo tarehe 12 ya mwezi […]
Tuzo ya Kijana Mwenye Ushawishi Barani Afrika yamfikia Rais Samia Read More »