Kaya 3,255 kunufaika na majiko ya gesi ya ruzuku Wilaya ya Mlele
📌Wananchi waipongeza Serikali kwa makati huo Wananchi Kijiji cha Usevya Wilaya ya Mlele Mkoani Katavi wamepongeza hatua zinazochukuliwa na Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) katika kuhakikisha wanafikiwa na nishati safi ya kupikia kwa bei ya ruzuku. Wametoa pongezi hizo kijijini hapo Agosti 12, 2025 wakati wa zoezi la usambazaji wa majiko ya gesi […]
Kaya 3,255 kunufaika na majiko ya gesi ya ruzuku Wilaya ya Mlele Read More »