Habari

Kaya 3,255 kunufaika na majiko ya gesi ya ruzuku Wilaya ya Mlele

📌Wananchi waipongeza Serikali kwa makati huo Wananchi Kijiji cha Usevya Wilaya ya Mlele Mkoani Katavi wamepongeza hatua zinazochukuliwa na Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) katika kuhakikisha wanafikiwa na nishati safi ya kupikia kwa bei ya ruzuku. Wametoa pongezi hizo kijijini hapo Agosti 12, 2025 wakati wa zoezi la usambazaji wa majiko ya gesi […]

Kaya 3,255 kunufaika na majiko ya gesi ya ruzuku Wilaya ya Mlele Read More »

Serikali yatambua mchango wa Amref Tanzania kusaidia NGOs

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mwanaidi Ali Khamis (kushoto), ambaye alikuwa mgeni rasmi katika Jukwaa la Mwaka la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGOs Forum) 2025, amekabidhi cheti cha shukrani kwa Mkurugenzi Mkazi wa Amref Tanzania, ikiwa ni kutambua mchango wa shirika hilo katika kuwezesha ujenzi wa uwezo wa kusaidia

Serikali yatambua mchango wa Amref Tanzania kusaidia NGOs Read More »

Waziri Mkuu amwakilisha Rais Dk. Samia mazishi ya Hayati Job Ndugai

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Agosti 11, 2025 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika mazishi ya Spika mstaafu wa Bunge la Tanzania, Job Yustino Ndugai, yaliyofanyika shambani kwake, kijiji cha Msunjulile, wilayani Kongwa mkoani Dodoma. Akizungumza katika ibada ya mazishi, Waziri Mkuu amewataka Watanzania kuenzi mema yote yaliyofanywa na marehemu Ndugai enzi za uhai

Waziri Mkuu amwakilisha Rais Dk. Samia mazishi ya Hayati Job Ndugai Read More »

Viongozi, wananchi wajitokeza katika ibada kumuombea Hayati Ndugai – Kongwa

Viongozi mbalimbali pamoja na wananchi ya Wilaya ya Kongwa na wa nje ya Wilaya ya Kongwa wameshiriki ibada ya kuombea na kuaga mwili wa Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Job Ndugai katika Kanisa la Anglikana- Mtakatifu Machael, Dinari ya Kongwa Wilayani Kongwa leo Agosti, 11, 2025. Ibada hii inaongozwa

Viongozi, wananchi wajitokeza katika ibada kumuombea Hayati Ndugai – Kongwa Read More »

TALIRI yashinda tuzo Nanenane 2025 kwa teknolojia za kuku Horasi na malisho bora

Kwa mara ya pili mfululizo, Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania (TALIRI) imeibuka mshindi wa kwanza katika kundi la Taasisi za Umma zinazotoa Mafunzo na Utafiti kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo ‘Nanenane’ yanayofanyika katika viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma. Tuzo hiyo imekabidhiwa na Rais Samia Suluhu Hassan tarehe 08/08/2025. Akizungumzia tuzo hiyo, Mkurugenzi Mkuu

TALIRI yashinda tuzo Nanenane 2025 kwa teknolojia za kuku Horasi na malisho bora Read More »

TALIRI: Wafugaji tumieni virutubisho asili kwa mifugo, kuepuka madhara ya kemikali

Wafugaji nchini wameshauriwa kwa dhati kutumia virutubisho vya asili katika shughuli zao za ufugaji, ili kukuza tija na kudhibiti matumizi ya kemikali zinazoweza kuwa na madhara kwa mifugo na binadamu. Wito huo ulitolewa na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania (TALIRI), Prof. Erick Vitus Komba, wakati akiwasilisha bidhaa mpya za virutubisho asilia

TALIRI: Wafugaji tumieni virutubisho asili kwa mifugo, kuepuka madhara ya kemikali Read More »

NEMC yawataka wawekezaji kusajili miradi yao

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limewataka wawekezaji nchini kuzingatia sheria kwa kusajili miradi yao kwenye baraza hilo kabla ya kufanya uwekezaji wowote. Hayo yalisemwa mwishoni mwa wiki na Afisa Mzingira wa (NEMC), Dalia Kilamlya, wakati akizungumza na gazeti hili kuhusu mafanikio waliyoyapata kwenye maonyesho ya nanenane. Maonyesho hayo yaliyofanyika katika

NEMC yawataka wawekezaji kusajili miradi yao Read More »