DAWASA imarisheni huduma kwa wateja- EWURA
Mkurugenzi Mkuu wa EWURA Dk. James Mwainyekule, amewasitiza Maofisa Huduma kwa wateja wa DAWASA kuendelea kuimarisha huduma kwa wateja wakati akifungua semina ya kutathmini hali ya huduma kwa wateja wa mamlaka, leo Juni 25, 2025 jijini Dar es Salaam. EWURA imechukua hatua hiyo kwa kuwa 27% ya malalamiko yanayohusu Mamlaka za Maji nchini kati ya […]
DAWASA imarisheni huduma kwa wateja- EWURA Read More »