Habari

Naibu Waziri Mkuu Dk. Biteko akemea migogoro Arusha

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewataka viongozi kote nchini kuweka maslahi ya wananchi mbele na kuacha migogoro inayotokana na ubinafsi wao. “Hawa Watanzania hawataki migogoro yetu sisi viongozi na wakati mwingine migogoro tuliyonayo ni migogoro ya maslahi binafsi. Tumeacha kuwahudumia wananchi tunashughulikiana, tunataka huyu akwame, huyu afanikiwe kwa sababu tuna […]

Naibu Waziri Mkuu Dk. Biteko akemea migogoro Arusha Read More »

NEMC kuanzisha ushirikiano na QATAR

Ushirikiano huo pia utahusu eneo la uhifadhi wa Ziwa Victoria hususani katika kufanya tafiti kuhusu  uondoshwaji wa gugu maji vamizi lililoshamiri kwa sasa.  Akizungumza na ujumbe kutoka Tanzania n chini QATAR, Katibu Mkuu wa Wizara ya  Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi wa nchini Qatar, AbdulAziz Ahmad Abdullah Al-Mahmoud alisema  majukumu ya kisheria ya Wizara yake

NEMC kuanzisha ushirikiano na QATAR Read More »

Jaji Kiongozi apongeza ushirikiano wa Mahakama Kuu na OSHA

Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu Tanzania, Dk. Mustapher Siyani, amepongeza ushirikiano unaondelea baina ya Muhimili wa Mahakama na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) ambao umeelezwa kuwa ni muhimu katika kufanikisha utekelezaji wa majukumu ya taasisi hizo mbili za serikali. Ametoa pongezi hizo wakati akifungua mafunzo kwa Watendaji wa Mahakama Kanda ya

Jaji Kiongozi apongeza ushirikiano wa Mahakama Kuu na OSHA Read More »

Serikali yaipongeza CTI na TANTRADE maandalizi mazuri ya EXPO 2025

SERIKALI imelipongeza Shirikisho  la Wenye Viwanda Tanzania (CTI), kwa kushirikiana na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTRADE),  kuandaa vyema uratibu wa Maonesho ya Kimataifa ya Wazalishaji  yajulikanayo kama TIMEXPO 2025. Maonyesho hayo yatafanyika kuanzia tarehe 19 hadi 22 Novemba mwaka huu  katika ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam na yanatarajiwa kuhudhuriwa na waonyeshaji

Serikali yaipongeza CTI na TANTRADE maandalizi mazuri ya EXPO 2025 Read More »

Tanzania na DRC zaweka mikakati ya pamoja kukuza Sekta ya Maliasili na Utalii

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb), amekutana na Waziri wa Utalii wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Mhe. Didier M’Pambia, kujadili njia za ushirikiano katika kukuza sekta ya maliasili na utalii kati ya nchi hizo mbili. Mazungumzo hayo yalifanyika pembezoni mwa Jukwaa la Pili la Kimataifa la Utalii wa

Tanzania na DRC zaweka mikakati ya pamoja kukuza Sekta ya Maliasili na Utalii Read More »

Sekta  ya Madini yafikia mchongo wa asilimia 10.1 katika Pato la Taifa

▪️ Rais Samia apongezwa kwa mageuzi makubwa ya sekta ya madini ▪️*Wizara yafikia lengo kabla ya mwaka 2025* ▪️ Sekta  Yatajwa Chanzo Kikuu kuingiza Fedha za Kigeni ▪️ Waziri Mavunde Awashukuru Watendaji, Watumishi na Wadau wa Sekta ya Madini 📍 Dodoma Wizara ya Madini imetangaza kuwa Sekta ya Madini nchini Tanzania imepiga hatua kubwa ya

Sekta  ya Madini yafikia mchongo wa asilimia 10.1 katika Pato la Taifa Read More »

Vitongoji 82 Tarime Vijijini kupelekewa umeme na Mradi wa HEP IIB-Kapinga 

📌Taasisi 3000 zaunganishiwa umeme na fedha za Covid 19 Vitongoji 82 ambavyo bado havijafikiwa na umeme katika Wilaya ya Tarime mkoni Mara vitapelekewa umeme kupitia Mradi wa Kupeleka Umeme Vitongojini Awamu ya Pili B  (HEP IIB) ambapo tayari zabuni ya kuwapata wakandarasi wa mradi huo imeshatangazwa na inatarajiwa kufunguliwa hivi karibuni. Hayo yameelezwa na Naibu

Vitongoji 82 Tarime Vijijini kupelekewa umeme na Mradi wa HEP IIB-Kapinga  Read More »

Dorothy Semu achukua fomu ya kugombea urais kupitia ACT Wazalendo

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Ndugu Dorothy Semu, leo tarehe 22 Aprili 2025, amechukua rasmi fomu ya kuomba kuteuliwa kuwa mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama hicho kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025. Fomu hiyo imekabidhiwa kwake na Katibu wa Oganaizesheni, Mafunzo na Uchaguzi wa ACT Wazalendo, Ndugu Shaweji Mketo,

Dorothy Semu achukua fomu ya kugombea urais kupitia ACT Wazalendo Read More »

Verified by MonsterInsights