Dk. Tulia azindua ujio wa mabomba ya maji ya mradi wa Mto Kiwira
📍 Mbeya, Aprili 18, 2025 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye pia ni Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Mbunge wa Mbeya Mjini, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, leo tarehe 18 Aprili 2025, ameongoza hafla ya uzinduzi wa awamu ya kwanza ya ujio wa mabomba ya maji yatakayotumika katika mradi […]
Dk. Tulia azindua ujio wa mabomba ya maji ya mradi wa Mto Kiwira Read More »