Dk. Samia akutana na mmiliki wa Manchester United
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Aprili 11, 2025, amekutana na kufanya mazungumzo na mmiliki wa Klabu ya Mpira wa Miguu ya Manchester United yenye maskani yake nchini Uingereza, Sir Jim Ratcliffe, Ikulu jijini Dar es Salaam. Katika mazungumzo yao Rais Dkt. Samia amemshukuru Sir Jim Ratcliffe kupitia Taasisi […]
Dk. Samia akutana na mmiliki wa Manchester United Read More »