Waziri Mavunde azindua rasmi shughuli za uchimbaji madini Porcupine North- Chunya
▪️Ni Leseni Hodhi zilizorudi Serikalini baada ya kumalizika kesi na wawekezaji ▪️Mapato ya Serikali kuongezeka kupitia mrabaha na kodi mbalimbali ▪️ Waziri Mavunde asisitiza kuongeza utafiti zaidi ili kuongeza uzalishaji wa dhahabu ▪️Wachimbaji wadogo nao wapatiwa Leseni kuongeza uzalishaji 📍 Chunya- Mbeya Waziri wa Madini Anthony Mavunde amezindua rasmi shughuli za uchimbaji madini katika mgodi […]
Waziri Mavunde azindua rasmi shughuli za uchimbaji madini Porcupine North- Chunya Read More »