Ambar Haji na Selasin wachaguliwa viongozi wakuu wa chama na wagombea urais
Chama cha NCCR Mageuzi kimemteua Haji Ambar Khamis kuwa mgombea Urais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania na Joseph Roman Selasin kuwa mgombea mwenza katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba 2025. Uteuzi wa wagombea hao umefanywa na mkutano Mkuu wa Chama hicho uliofanyika Leo Tarehe 29 Machi 2025 Katika ukumbi wa St. Gasper Jijini […]
Ambar Haji na Selasin wachaguliwa viongozi wakuu wa chama na wagombea urais Read More »