Habari

Waziri Chana: Jeshi la Uhifadhi, Jeshi la Polisi shirikianeni kutatua changamoto za uhifadhi

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) ameelekeza Jeshi la Uhifadhi (JU) na Jeshi la Polisi (PT) kuendelea kushirikiana katika utatuzi wa changamoto zinazoikabili Sekta ya Maliasili na Utalii ikiwemo matukio ya ujangili na utoroshaji wa nyara za Serikali. Ameyasema hayo Agosti 9, 2025 alipokuwa akifungua rasmi kikao kazi kilichoandaliwa na

Waziri Chana: Jeshi la Uhifadhi, Jeshi la Polisi shirikianeni kutatua changamoto za uhifadhi Read More »

Viongozi wawasili Bungeni kushiriki ibada kuaga mwili wa Hayati Job Ndugai

Viongozi mbalimbali wa kitaifa na kimkoa wamewasili katika viwanja vya Bunge, Jijini Dodoma, leo tarehe 10 Agosti 2025, kushiriki ibada maalum ya kuaga mwili wa Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Job Yustino Ndugai. Ibada hiyo inaongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan,

Viongozi wawasili Bungeni kushiriki ibada kuaga mwili wa Hayati Job Ndugai Read More »

TVLA yang’ara Nanenane 2025, yanyakua tuzo tano Kitaifa na Kanda

Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) imepata heshima kubwa kitaifa baada ya kutunukiwa tuzo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuibuka mshindi wa kwanza miongoni mwa wakala wa serikali wanaotoa huduma bora na zenye tija kwa sekta ya mifugo nchini. Ushindi huo ulipatikana kupitia maonesho ya

TVLA yang’ara Nanenane 2025, yanyakua tuzo tano Kitaifa na Kanda Read More »

Balozi Sirro aipongeza EWURA kuwafikia wakulima, wafugaji Nanenane

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Mhe. Balozi Simon Sirro ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda ya Magahraibi kwa kuwafikia wakulima na wafugaji kwa kuwapa elimu na fursa mbalimvali za kuwaongezea kipato na thamani shughuli zao wakati wa maonesho ya Nanenane yaliyofanyika viwanja vya Ipuli Tabora kuanzia Agosti 1 hadi

Balozi Sirro aipongeza EWURA kuwafikia wakulima, wafugaji Nanenane Read More »

Naibu Waziri Mambo ya Nje aipongeza REA kwa utekelezaji wa miradi ya nishati vijijini

Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki; Cosato Chumi alasiri ya jana, tarehe 07 Agosti, 2025 ametembelea banda la Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na kupongeza namna Wakala ilivyotekeleza Miradi mbalimbali vijijini. Chumi amesema Miradi yote inayotekelezwa na Wakala (REA) imekuwa na athari chanya kwenye maendeleo ya Watu waishio vijijini.

Naibu Waziri Mambo ya Nje aipongeza REA kwa utekelezaji wa miradi ya nishati vijijini Read More »