Mwili wa Hayati Ndugai ukiwasili Bungeni kwa heshima za mwisho
Mwili wa Hayati Spika Mstaafu wa Bunge na aliyekuwa Mbunge wa Kongwa, Job Yustino Ndugai, umewasili katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma leo Agosti 10, 2025. Mwili huo umefika Bungeni kwa ajili ya viongozi wa kitaifa, familia, wabunge, na wananchi kutoa heshima zao za mwisho. Baada ya zoezi hilo, mwili wa Hayati Ndugai utaelekea nyumbani […]
Mwili wa Hayati Ndugai ukiwasili Bungeni kwa heshima za mwisho Read More »