Habari

Serikali yasisitiza utamaduni wa kujikinga, Tanzania ikiadhimisha Siku ya Usalama na Afya Duniani Singida

Serikali imetoa wito kwa waajiri, wafanyakazi na wananchi kwa ujumla kujenga utamaduni wa kujikinga dhidi ya ajali na magonjwa mahali pa kazi ili kuepuka athari zinazoweza kujitokeza katika uchumi na ustawi wa wafanyakazi nchini. Wito huo wa Serikali umetolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete, alipowaongoza […]

Serikali yasisitiza utamaduni wa kujikinga, Tanzania ikiadhimisha Siku ya Usalama na Afya Duniani Singida Read More »

Kampuni ya Perseus yatangaza kuanza ujenzi wa mgodi wa dhahabu wa Nyanzaga

Kampuni ya Perseus ya Nchini Australia yatoa tangazo rasmi la kuanza ujenzi wa mgodi wa dhahabu wa Nyanzaga uliopo Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza utakaomilikiwa na Kampuni ya Ubia ya Sotta ambapo Kampuni ya Perseus ina umiliki wa hisa za 84% na Serikali ya Tanzania ina umiliki hisa zisizofifishwa za 16% . Taarifa hiyo iliyotolewa leo

Kampuni ya Perseus yatangaza kuanza ujenzi wa mgodi wa dhahabu wa Nyanzaga Read More »

Maonesho Ya OSHA Singida: Waziri Kikwete jinsi PSSSF Kidijitali ilivyopokelewa na wanachama

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete, ametembelea banda la Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) kwenye kilele cha Maonesho ya Wiki ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kwenye viwanja vya Mandewa mkoani Singida Aprili 28, 2025. Katika banda la PSSSF,

Maonesho Ya OSHA Singida: Waziri Kikwete jinsi PSSSF Kidijitali ilivyopokelewa na wanachama Read More »

Zuhura: Michezo ni mwarobaini magonjwa yasiyo ya kuambukiza kwa wafanyakazi

NAIBU Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Zuhura Yunus amesisitiza wafanyakazi wa sekta mbalimbali nchini kujenga tabia ya kushiriki michezo na kufanya mazoezi ili kuimarisha afya zao na kuepuka magonjwa yasiyo ya kuambukiza ambayo yanawakabili watu wengi ulimwenguni. Zuhura alitoa wito huo wakati akifunga Bonanza la michezo (OSHA Bonanza)

Zuhura: Michezo ni mwarobaini magonjwa yasiyo ya kuambukiza kwa wafanyakazi Read More »

Balozi Nchimbi apiga marufuku wimbo unaochochea chuki dhidi ya wapinzani

✍🏿 Una maneno yaliyotumiwa dhidi ya Nduli Idi Amin ✍🏿 Asisitiza utaifa ulindwe kwa wivu mkubwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Emmanuel Nchimbi amepiga marufuku wimbo unaobeza na kuchochea chuki dhidi ya vyama vya upinzani, akiagiza usitumiwe na wanaCCM popote, kwani wao wanapaswa kuwa mfano wa kuigwa kuhamasisha upendo, umoja na mshikamano nchini.

Balozi Nchimbi apiga marufuku wimbo unaochochea chuki dhidi ya wapinzani Read More »

Serikali yapongeza Wiki ya Ubunifu MUHAS, yaahidi kushauri na kusaidia teknolojia za kiafya

DAR ES SALAAM, Aprili 25, 2025 – Serikali ya Tanzania imeeleza kuwa inaunga mkono jitihada za ubunifu katika sekta ya afya zinazofanywa na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), hasa zile zinazolenga kutafuta suluhisho la changamoto mbalimbali za kiafya nchini. Akizungumza katika hafla ya kufunga Wiki ya Ubunifu ya MUHAS jijini Dar

Serikali yapongeza Wiki ya Ubunifu MUHAS, yaahidi kushauri na kusaidia teknolojia za kiafya Read More »

PSSSF yashiriki Maonesho ya Wiki ya Afya na Usalama Kazini Kitaifa Singida

Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) unashiriki katika Maonesho ya Wiki ya Afya na Usalama Mahali pa Kazi (OSH – Occupational Safety and Health) yanayofanyika kitaifa kwenye Viwanja vya Maonesho Mandewa, mkoani Singida kuanzia Aprili 24 hadi 30, 2025. Akizungumza kuhusu ushiriki huo, Afisa Uhusiano Mwandamizi wa PSSSF, Rehema Mkamba, amesema

PSSSF yashiriki Maonesho ya Wiki ya Afya na Usalama Kazini Kitaifa Singida Read More »

Qatar, Tanzania kushirikiana usimamizi wa mifumo ya usafi wa mazingira 

Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), Dodoma (DUWASA) na Mtwara (MTUWASA) ikishirikiana na Ubalozi wa Tanzania Nchini Qatar, zimeahidiwa mashirikiano ya pamoja katika Sekta ya Usafi wa Mazingira hususani katika nyanja ya udhibiti na uondoshaji wa Majitaka katika Majiji na Manispaa za Mikoa. Katika mazungumzo na ujumbe ulioongozwa na Mkurugenzi

Qatar, Tanzania kushirikiana usimamizi wa mifumo ya usafi wa mazingira  Read More »