Habari

ATE, Sightsavers International wazindua Mtandao Uwezeshaji Watu wenye Ulemavu Mahali pa Kazi

Akizungumza katika uzinduzi huo leo, Mtendaji Mkuu wa ATE,Suzanne Ndomba-Doran, amesisitiza kuwa ushirikiano kati ya serikali, waajiri, na mashirika mbalimbali ni muhimu katika kuhakikisha fursa sawa za ajira. Ndomba-Doran ameeleza kuwa ATE kwa kushirikiana na Sightsavers International inatekeleza mradi wa kuwawezesha watu wenye ulemavu kiuchumi, huku ikiwahamasisha waajiri kuandaa mazingira jumuishi.  Katika mradi huo, waajiri […]

ATE, Sightsavers International wazindua Mtandao Uwezeshaji Watu wenye Ulemavu Mahali pa Kazi Read More »

DAWASA yatekeleza miradi ya Majisafi ya trilioni 1.19 miaka minne ya Rais Samia

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), kwa kushirikiana na Serikali, imefanikiwa kuwekeza Trilioni 1.19 katika utekelezaji wa miradi ya majisafi ndani ya kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa DAWASA, Mhandisi Mkama Bwire, akiwasilisha taarifa ya mafanikio ya miradi na

DAWASA yatekeleza miradi ya Majisafi ya trilioni 1.19 miaka minne ya Rais Samia Read More »

Mramba: Biashara ya kuuziana umeme kuinufaisha Tanzania

📌Afafanua kuuuza na kununua umeme ni jambo la kawaida kwa nchi 📌Asisitiza kununua umeme kwa Mikoa ya Kaskazini kunamanufaa kwa Mikoa husika 📌Asema kukamilika kwa Mradi wa TAZA kutainufaisha Tanzania na biashara ya umeme Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati Mhandisi Felchesmi Mramba ametoa Ufafanuzi zaidi kuhusu hatua ya Serikali kununua Umeme nchini Ethiopitia kupitia

Mramba: Biashara ya kuuziana umeme kuinufaisha Tanzania Read More »

Rais Samia aweka jiwe la msingi uzinduzi mradi wa maji Same – Mwanga – Korogwe

Rais Samia Suluhu Hassan, ameweka jiwe la msingi kuashiria uzinduzi wa Mradi wa Maji Same – Mwanga – Korogwe wakati wa ziara yake ya siku moja mkoani Kilimanjaro leo, Machi 09, 2025. Mradi huu ni sehemu ya juhudi za serikali za kuhakikisha wananchi wanapata maji safi na salama kwa matumizi ya kila siku, ikiwa ni

Rais Samia aweka jiwe la msingi uzinduzi mradi wa maji Same – Mwanga – Korogwe Read More »

Rais Samia : Tanzania ni msimamizi mpango wa Nishati Safi Afrika

📌Asema Ajenda ya Nishati Safi ni ajenda ya Nchi hivyo tunaisimamia Afrika. 📌Nishati ni Mpango wa Maendeleo endelevu 📌Umeme umesambazwa Vijiji vyote nchini 📍Arusha Rais Dk. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Tanzania ni Msimamizi wa Mpango Maalum wa Nishati Safi Afrika. Amesema hayo wakati akizungumza katika Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambapo

Rais Samia : Tanzania ni msimamizi mpango wa Nishati Safi Afrika Read More »

Sanga awataka wananchi wa Kaskazini kuthamini upendo kupunguza migogoro ya ardhi

KATIBU Mkuu Wizara ya Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Anthony Sanga amewashauri wananchi wa Kanda ya Kaskazini kupendana kifamilia ili kupunguza changamoto ya migororo ya ardhi. Sanga alitoa ushauri huo leo jijini Arusha alipokuwa katika banda la wizara hiyo lililopo kwenye wiki ya maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani, ambayo kitaifa inafanyika mkoani Arusha kesho,

Sanga awataka wananchi wa Kaskazini kuthamini upendo kupunguza migogoro ya ardhi Read More »

Wanawake wahamasishwa kutumia fursa za biashara za kuimarisha seli za mwili

Wanawake wanaojishughulisha na biashara ya usambazaji wa bidhaa za Phytoscience, ambazo zinasaidia kuimarisha seli za mwili, wametakiwa kutumia vyema fursa za kiuchumi zilizopo katika sekta hiyo ili kujiongezea kipato na kujikwamua kiuchumi. Mwenyekiti wa Jukwaa la Uwezeshaji Kiuchumi Wanawake jijini Dar es Salaam, Rehema Sanga, alitoa wito huo wakati akizungumza na wanawake wa taasisi ya

Wanawake wahamasishwa kutumia fursa za biashara za kuimarisha seli za mwili Read More »

Serikali kujenga mtandao mkubwa wa mabomba ya gesi- Dk. Biteko 

📌 Asema lengo ni kurahisisha huduma kwa Wananchi 📌 Afanya mazungumzo na kampuni Rashal Energies inayojenga Bomba la Gesi Kisemvule-Mbagala 📌 Aikaribisha kampuni ya CNOOC ya China kushiriki Duru a Tano Vitalu vya Mafuta na Gesi Asilia Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa

Serikali kujenga mtandao mkubwa wa mabomba ya gesi- Dk. Biteko  Read More »

MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI: Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu yafariji watoto wagonjwa Muhimbili

Wanawake wa Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu kidakio cha Pwani wametoa msaada wa vitu mbalimbali kwa wazazi wa watoto waliolazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Msaada huo ni katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani ambapo Kitaifa yanatarajiwa kufanyika mkoani Arusha Machi 8, 2025.   Afisa Maendeleo a Jamii wa bonde hilo, Flora Muro,

MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI: Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu yafariji watoto wagonjwa Muhimbili Read More »

Verified by MonsterInsights