Wizara ya Nishati yajivunia jitihada za kuimarisha haki na uwezeshaji wa wanawake
Katika kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Machi 8, 2025, yenye kaulimbiu “Wanawake na Wasichana 2025: Tuimarishe Haki, Usawa na Uwezeshaji,” Wizara ya Nishati imeeleza jinsi inavyoshiriki kikamilifu katika kulinda haki za wanawake, kuimarisha usawa, na kuwawezesha kiuchumi kupitia upatikanaji wa nishati ya umeme na nishati safi ya kupikia. Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. […]
Wizara ya Nishati yajivunia jitihada za kuimarisha haki na uwezeshaji wa wanawake Read More »