Lukuvi aagiza uboreshaji wa mawasiliano ya tahadhari za maafa
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), William Lukuvi, ameielekeza Kituo cha Operesheni na Mawasiliano ya Dharura kujiratibu vyema katika kusambaza taarifa za tahadhari ya maafa kwa wakati, ili hatua za mapema zichukuliwe kabla ya madhara kutokea. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), William Lukuvi, ameielekeza […]
Lukuvi aagiza uboreshaji wa mawasiliano ya tahadhari za maafa Read More »