Habari

Naibu Waziri Mambo ya Nje aipongeza REA kwa utekelezaji wa miradi ya nishati vijijini

Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki; Cosato Chumi alasiri ya jana, tarehe 07 Agosti, 2025 ametembelea banda la Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na kupongeza namna Wakala ilivyotekeleza Miradi mbalimbali vijijini. Chumi amesema Miradi yote inayotekelezwa na Wakala (REA) imekuwa na athari chanya kwenye maendeleo ya Watu waishio vijijini. […]

Naibu Waziri Mambo ya Nje aipongeza REA kwa utekelezaji wa miradi ya nishati vijijini Read More »

TVLA yagusa mioyo ya wafugaji maonesho ya Nanenane

Na Daudi Nyingo, Dodoma Katika kuadhimisha Maonesho ya Kilimo (Nanenane) yanayofanyika Kitaifa katika Uwanja wa Nzuguni, mkoani Dodoma, Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) umeendelea kugusa mioyo ya Wafugaji kwa kutoa huduma na elimu inayolenga kuboresha afya ya mifugo nchini. Akizungumza Leo Agosti 07, 2025  katika banda la TVLA, Meneja wa Kituo cha TVLA

TVLA yagusa mioyo ya wafugaji maonesho ya Nanenane Read More »

Nishati safi kwa kila mtu inawezekana – Mkurugenzi Mkuu REA

Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA); Mhandisi, Hassan Saidy amesema inawezekana hadi mwaka 2034 Watanzania zaidi ya asilimia 80 wakawa wanatumia nishati safi ya kupikia kwa kuwa Serikali imeweka mipango madhubuti sambamba na uwekezaji mkubwa uliofanywa. Mhandisi, Saidy ameongeza kuwa pamoja na jitihada za makusudi za Serikali ili kuhakikisha kila Mtanzania anatumia nishati

Nishati safi kwa kila mtu inawezekana – Mkurugenzi Mkuu REA Read More »

Wakulima 18,000 kunufaika na Kilimo Misitu – Waziri Chana

Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Dk. Pindi Chana amesema kuwa zaidi ya wakulima 18,000 wanatarajiwa kunufaika moja kwa moja na Mpango wa Taifa wa Kilimomisitu ifikapo mwaka 2031, ambao unalenga kuhakikisha wakulima milioni 15 wanatumia teknolojia na mbinu bora za kilimomisitu nchini. Mkakati huo uliozinduliwa mwaka 2024 na Dk. Philipo Mpango, Makamu wa Raisa

Wakulima 18,000 kunufaika na Kilimo Misitu – Waziri Chana Read More »

Kilosa wamshukuru Rais Samia kuwafikishia nishati safi ya kupikia

Wananchi Wilayani Kilosa mkoani Morogoro wameshukuru Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kuwafikishia mradi unaosimamiwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wa kusambaza majiko yaliyoboreshwa maarufu kama majiko banifu kwa bei ya ruzuku ya shilingi 14,700 kwa kila jiko. Wametoa shukrani hizo Agosti 6, 2025 wakati wa uzinduzi wa mradi shilingi 9,400,799,626.7 wa kusambaza majiko

Kilosa wamshukuru Rais Samia kuwafikishia nishati safi ya kupikia Read More »

Tumieni Nishati Safi ya Kupikia kuokoa mazingira – Mha. Mgonja

📌 Watumishi Jeshi la Magereza 1166 Mkoa wa Morogoro wapatiwa majiko ya gesi 📌 REA yaendelea kutekeleza Mkakati wa Nishati Safi ya Kupikia Watanzania wameendelea kuhamasishwa kutumia nishati safi ya kupikia ili kutunza mazingira kwa kizazi cha sasa na kizazi kijacho. Rai hiyo imetolewa jana Agosti 5, 2025 na Mjumbe wa Bodi wa Nishati Vijijini

Tumieni Nishati Safi ya Kupikia kuokoa mazingira – Mha. Mgonja Read More »

Kamishna Mstaafu wa Polisi, Jamal Rwambow ajiunga na ACT Wazalendo

Dar es Salaam, Agosti 6, 2025 – Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Mstaafu, Jamal Rwambow, amejiunga rasmi na Chama cha ACT Wazalendo. Rwambow alipokelewa na Kiongozi wa Chama hicho, Dorothy Semu, katika hafla maalum iliyofanyika jana katika ofisi za makao makuu ya chama hicho zilizopo Magomeni, mkoani Dar es Salaam. Tukio hilo limehudhuriwa na viongozi

Kamishna Mstaafu wa Polisi, Jamal Rwambow ajiunga na ACT Wazalendo Read More »