Waziri Kikwete: Kiwanda cha Ngozi Kilimanjaro kipo katika hatua nzuri ya uzalishaji
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu),Ridhiwani Kikwete, amesema kuwa Kiwanda cha Kimataifa cha Bidhaa za Ngozi Kilimanjaro (KLICL) kipo katika hatua nzuri ya uzalishaji na kinaendelea kuimarika. Akizungumza leo wakati wa ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Serikali (PIC) katika kiwanda hicho […]
Waziri Kikwete: Kiwanda cha Ngozi Kilimanjaro kipo katika hatua nzuri ya uzalishaji Read More »