Watuhumiwa wa Ubakaji na ulawiti wafungwa maisha jela
Na Mwandishi Jeshi la Polisi- Arusha Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema kwa kipindi cha kuanzia mwezi Januari, 2025 hadi Februari 2025 lilifanya operesheni dhidi ya uhalifu na wahalifu na kufanikiwa kukamata watuhumiwa mbalimbali na kuwafikishwa Mahakamani. Akitoa taarifa hiyo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP Justine Masejo […]
Watuhumiwa wa Ubakaji na ulawiti wafungwa maisha jela Read More »