Mkutano wa Nishati Afrika (M300) kuchochea maendeleo ya Afrika
📌Dkt. Biteko asema utachochea utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Nishati 📌Ahamasisha uwekezaji katika Sekta ya Nishati 📌 WB, AfDB zampongeza Rais Samia kuwa Kinara Sekta ya Nishati 📌Lengo la Tanzania kuzalisha megawati 4,000 za umeme 📌Nishati safi ya kupikia kupewa kipaumbele Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu […]
Mkutano wa Nishati Afrika (M300) kuchochea maendeleo ya Afrika Read More »