Rais Samia: Walipakodi mjitahidi kulipa kodi kwa hiari, acheni dhuruma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassan, amewataka walipakodi nchini kuendelea kulipa kodi kwa hiari na kuacha vitendo vya ukwepaji kodi ambavyo vinaathiri usawa wa ushindani sokoni. Akizungumza Januari 23 jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya utoaji wa Tuzo za Mlipakodi iliyoandaliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), […]
Rais Samia: Walipakodi mjitahidi kulipa kodi kwa hiari, acheni dhuruma Read More »