Habari

Naibu Waziri wa Fedha azindua Bahati Nasibu ya Taifa, hatua Kubwa michezo ya kubahatisha Tanzania

Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Chande, amezindua rasmi Bahati Nasibu ya Taifa Tanzania, hatua kubwa kwa sekta ya michezo ya kubahatisha nchini. Uzinduzi huo umefanyika katika hafla ya kihistoria ambapo Chande ameeleza umuhimu wa mpango huo katika kuchochea maendeleo ya kitaifa, kuongeza ajira, na kuhamasisha ufadhili wa miradi ya kijamii. Katika hotuba yake, Chande amesema, […]

Naibu Waziri wa Fedha azindua Bahati Nasibu ya Taifa, hatua Kubwa michezo ya kubahatisha Tanzania Read More »

Makamu Mwenyekiti wa ACT awakaribisha CHADEMA waliochoka

Kupitia ukurasa wake wa X (zamani Twitter), Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Bara, Isihaka Mchinjita, amewakaribisha wanachama wa CHADEMA ambao hawajaridhishwa na mwenendo wa chama hicho, akisisitiza kuwa ACT Wazalendo ni kimbilio la wahanga wa demokrasia. Katika ujumbe wake, Mchinjita alianzisha kwa kuwatakia heri wanachama wa CHADEMA kwenye uchaguzi wao wa viongozi wa juu unaofanyika

Makamu Mwenyekiti wa ACT awakaribisha CHADEMA waliochoka Read More »

Mwanasheria Mkuu Johari, Katibu Mkuu Mary Maganga na DG PSSSF katika Viwanja vya Bunge

Mwanasheria Mkuu wa serikali Hamza Johari (kulia) akiwa katika mazungumzo na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana Ajira na Wenye Ulemavu) Mary Maganga (wakwanza kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa PSSSF, Abdul-Razaq Badru (wapili kushoto) na watendaji wengine wa PSSSF, kabla ya kuingia kwenye kikao na kamati ya kudumu ya Bunge ya Ustawi na

Mwanasheria Mkuu Johari, Katibu Mkuu Mary Maganga na DG PSSSF katika Viwanja vya Bunge Read More »

Shirika la Ndege la Afrika Kusini laanza safari Johannesburg na Dar

Shirika la Ndege la Afrika Kusini (SAA) limezindua rasmi safari zake za kila siku kati ya Johannesburg, Afrika Kusini, na Dar es Salaam, Tanzania, hatua inayolenga kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na kijamii kati ya mataifa haya mawili yenye ushawishi mkubwa barani Afrika. Katika hafla ya uzinduzi, Mkurugenzi Mtendaji wa muda wa SAA, Profesa John Lamola,

Shirika la Ndege la Afrika Kusini laanza safari Johannesburg na Dar Read More »

Serikali yaongeza nguvu Sekta ya Madini, yakusanya trilioni 2.64 miaka minne

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema,Serikali imeimarisha sekta ya madini kwa kuweka mazingira wezeshi ili kuwavutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi. Pia,Serikali imeimarisha miundombinu wezeshi,masoko ya madini na kuwawezesha wachimbaji wadogo. Waziri Mkuu amesema, kutokana na jitihada hizo katika kipindi cha miaka minne, mmafanikio makubwa yamepatikana ikiwemo kutoa

Serikali yaongeza nguvu Sekta ya Madini, yakusanya trilioni 2.64 miaka minne Read More »

DC Naitapwaki awalipia gharama za kuunganisha umeme wananchi wa Nzega

📌 Ataka miundombinu ya umeme ilindwe Katika kuunga mkono kampeni ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA) ya kuhamasisha wananchi kuunganisha umeme kwenye nyumba zao, Mkuu wa Wilaya ya Nzega, Naitapwaki Tukai amewalipia gharama za kuunganisha umeme wazee na wenye ulemavu katika Kijiji cha Nzogolo Kata ya Nzega ndogo. Mkuu huyo wa Wilaya alitoa ahadi hiyo

DC Naitapwaki awalipia gharama za kuunganisha umeme wananchi wa Nzega Read More »

Waziri Jafo amtaka mkandarasi jengo la Metrolojia CBE kuzingatia ubora

WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Selemani Jafo amemwagiza mkandarasi Kampuni ya LI JUN Construction ya China anayejenga jengo la Metrolojia la Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), kukamilisha kwa wakati na kwa ubora waliokubaliana kwenye mkataba. Waziri Jafo ametoa maelekezo hayo leo alipotembelea ujenzi wa jengo hilo unaoendelea chuoni hapo ambalo litatumika kwaajili ya masomo

Waziri Jafo amtaka mkandarasi jengo la Metrolojia CBE kuzingatia ubora Read More »

Verified by MonsterInsights