Habari

Khamis Mgeja atoa maoni kuhusu mrithi wa Kinana

Mwanasiasa mkongwe na aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga Khamis Mgeja, amewatakia heri wana-CCM katika mkutano mkuu wa kushika mikoba ya aliyekuwa Makamu Mwenyekiti, Abdulahman Kinana. Akizungumza leo jijini Dar es Salaam, Mgeja amesema  shauku kubwa ya wana-CCM ni kumpata Makamu Mwenyekiti atakayemsaidia mwenyekiti wa chama ambaye ni Rais Samia Suluhu Hassan.  “Nina

Khamis Mgeja atoa maoni kuhusu mrithi wa Kinana Read More »

Kapinga -Uwezo wa mitambo ya kufua umeme wafikia megawati 3,091.71

📌 Wateja wapya 109,918 waunganishiwa na huduma ya umeme nchini 📌 Kamati ya Bunge yaipongeza TANESCO kwa kuimarisha Miundombinu ya umeme Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema kuwa uwezo wa mitambo ya kufua umeme iliyounganishwa katika mfumo wa Gridi ya Taifa hadi kufikia mwezi Desemba, mwakajana ni jumla ya Megawati 3,091.71 ikilinganishwa na

Kapinga -Uwezo wa mitambo ya kufua umeme wafikia megawati 3,091.71 Read More »

NEMC Kanda ya Kaskazini yatoa vyeti vya EIA kwa miradi yote mikubwa

BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Kanda ya Kaskazini limesema limefanisha miradi yote mikubwa kama barabara, viwanda na migodi kuwa na cheti cha Tathmini ya Athari kwa  Mazingira  (EIA). Hayo yalisemwa jana na Meneja wa NEMC wa Kanda hiyo,  Benjamin Dotto wakati akizungumzia mafanikio ambayo wamepata kwenye kusajili miradi mbalimbali ya

NEMC Kanda ya Kaskazini yatoa vyeti vya EIA kwa miradi yote mikubwa Read More »

Waliokaidi ukaguzi magari ya shule wakamatwa, wananchi waombwa kulinda watumiaji wapya barabarani

Jeshi la Polisi kikosi cha usalama Barabarani kimesema kuwa baada ya kuhitimisha zoezi la ukaguzi wa magari ya shule (School Bus) kwa kipindi cha likizo ambacho kilitangazwa ili kuondoa usumbufu kwa wanafunzi wanaotumia vyombo hivyo kimeanza kuwakamata wale wote walio kaidi agizo hilo huku kikosi hicho kikiwaomba wananchi kuweka uangalizi wa kundi hilo. Akiongea katika

Waliokaidi ukaguzi magari ya shule wakamatwa, wananchi waombwa kulinda watumiaji wapya barabarani Read More »

Ridhiwani Kikwete awasilisha Muswada wa Sheria za kazi kwa Kamati ya Bunge

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Ridhiwani Kikwete amewasilisha Muswada wa Marekebisho ya Sheria za Kazi (Na. 13) wa Mwaka 2024 (The Labour Laws Amendments (No.13) Bill, 2024) mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii, jijini Dodoma, leo Januari 14, 2025.

Ridhiwani Kikwete awasilisha Muswada wa Sheria za kazi kwa Kamati ya Bunge Read More »

Verified by MonsterInsights