Maliasili, Mambo ya Ndani zashauriwa kushirikiana kukuza utalii
Wizara ya Maliasili na Utalii imetakiwa kushirikiana kwa ukaribu na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi katika kukuza soko la utalii nchini na kurahisisha utoaji wa huduma ya viza kwa watalii. Hayo yamesemwa leo Januari 14,2025 na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii, Timotheo Mnzava katika kikao kilichofanyika […]
Maliasili, Mambo ya Ndani zashauriwa kushirikiana kukuza utalii Read More »