Rais Mwinyi: Serikali itajenga barabara nyingi Pemba
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewahakikishia Wananchi wa Pemba kuwa Barabara nyingi Kisiwani humo zitajengwa kwa Kiwango cha Lami. Rais Dk Mwinyi ameyasema hayo alipozindua Barabara za Kilomita 10 za Micheweni – Kiuyu-Maziwa Ng’ombe na Barabara ya Michweni -Shumba Mjini hadi Bandarini Wilaya ya Micheweni , Mkoa […]
Rais Mwinyi: Serikali itajenga barabara nyingi Pemba Read More »