Dk. Biteko ahimiza upendo, kuvumiliana katika kuleta maendeleo nchini
📌Asema Rais Samia anaendelea kuweka Historia Nchini 📌Asema Rais amenuia kupunguza changamoto za Watanzania Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Bukombe Dk. Doto Biteko amewahimiza Watanzania kuendeleza upendo mshikamano na kuvumiliana zikiwa nyenzo muhimu za kufikia maendeleo […]
Dk. Biteko ahimiza upendo, kuvumiliana katika kuleta maendeleo nchini Read More »