Tanzania, Saudi Arabia Kuimarisha Ushirikiano Sekta Ya Nishati
📌 Waziri Kapinga afanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Nishati Saudi Arabia 📌 Wajadili ushirikiano katika Mafuta, Gesi Asilia, Nishati Jadidifu na Nishati Safi ya Kupikia 📌 Saudi Arabia yaeleza kutambua juhudi za Tanzania kuimarisha Sekta ya Nishati 📍SAUDI ARABIA Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Tanzania itaendelea kushirikiana na Saudi Arabia katika kuimarisha […]
Tanzania, Saudi Arabia Kuimarisha Ushirikiano Sekta Ya Nishati Read More »