TUGHE yasisitiza haki na wajibu ili kuleta tija sehemu za kazi
Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE) kimesisitiza kuwa ili kuleta tija katika maeneo ya kazi ni lazima wafanyakazi watimize wajibu wao ipasavyo huku waajiri nao wakiwajibika kutimiza haki za watumishi wao kulingana na makubaliano katika mikataba yao. Akizungumza na Waandishi wa Habari mara baada ya ufunguzi wa Mkutano wa Baraza Kuu TUGHE […]
TUGHE yasisitiza haki na wajibu ili kuleta tija sehemu za kazi Read More »