Tundu Lissu alinyimwa ukumbi Makao Makuu Chadema?
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu, amenyimwa Ukumbi wa kufanyia mkutano wake Makao Makuu ya Chadema kutokana na mgogoro wa kuwania uenyekiti ndani ya chama hicho na kulazimika kutangaza nia yake ya kuwania nafasi ya Uenyekiti katika Ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam. Uamuzi wa Lissu wa kufanyia […]
Tundu Lissu alinyimwa ukumbi Makao Makuu Chadema? Read More »