Mkutano wa 45 wa Wakuu wa nchi wa SADC waanza Madagascar
Mkutano wa 45 wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umeanza Agosti 04, 2025 jijini Antananarivo, Madagascar na Kikao cha Wataalamu cha Maafisa Waandamizi cha kupitia Utekelezaji wa Mpango Mkakati Elekezi wa Maendeleo wa Kikanda 2030 (Regional Indicative Strategic Development Plan 2030-RISDP). zania inashiriki kikao hicho muhimu kwa maendeleo […]
Mkutano wa 45 wa Wakuu wa nchi wa SADC waanza Madagascar Read More »