Uwepo wa TAWA waongeza hadhi ya Tamasha la Kizimkazi – Kikeke
Mtangazaji nguli, na mwandishi wa habari mashuhuri Africa Mashariki na Kati aliyekuwa akitangaza kipindi cha Dira ya Dunia katika Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) ambaye kwasasa anafanya kazi na Redio/TV ya Crown FM/TV iliyopo nchini, Salim Kikeke amesema uwepo wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori nchini – TAWA katika Tamasha la Kizimkazi umekuwa chachu […]
Uwepo wa TAWA waongeza hadhi ya Tamasha la Kizimkazi – Kikeke Read More »