Nimepiga kura, nimetimiza haki yangu ya kikatiba- Kapinga
📌 Aungana na Wananchi kuchagua Viongozi Kitongoji cha Mheza 📌 Ahimiza Watanzania kuendelea kujitokeza kupiga kura Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga leo ameshiriki zoezi la kupiga kura katika Kitongoji cha Mheza kijiji cha Mkumbi Halmashauri ya Mbinga Vijijini ili kuchagua viongozi wa eneo husika. Kapinga ameeleza kuwa, kwa kufanya hivyo ametimiza haki yake ya […]
Nimepiga kura, nimetimiza haki yangu ya kikatiba- Kapinga Read More »